Orodha ya Shule Walizopangiwa Kidato cha Tano 2026/2027 (Form five Selection), Shule walizopangiwa kidato cha tano 2026, Form Five Selection 2026/2027 Tanzania, Waliochaguliwa kidato cha tano 2026 TAMISEMI, Selection kidato cha tano 2026 PDF.
Wanafunzi wote waliofanya mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) mwaka 2025, sasa wanaweza kuangalia shule walizopangiwa kujiunga na Kidato cha Tano kwa mwaka wa masomo 2026/2027. Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) inatarajia kutoa orodha hiyo rasmi ikijumuisha wanafunzi wa michepuo yote ya Sayansi, Sanaa, na Biashara.
Pia, uchaguzi huu unahusisha wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Vyuo vya Ufundi na Vyuo vya Ualimu nchini Tanzania.
Jinsi ya Kuangalia Selection 2026 Mtandaoni
Ili kujua shule uliyopangiwa, tafadhali fuata hatua hizi:
-
Bonyeza link ya Selection 2026 hapa chini.
-
Tafuta Mkoa uliosoma.
-
Chagua Halmashauri yako.
-
Tafuta Jina la Shule uliyohitimu.
-
Angalia jina lako kwenye orodha ili kuona Shule uliyopangiwa na Mchepuo (Combination).
BONYEZA HAPA KUANGALIA SHULE ULIZOPANGIWA 2026
(Link hii itaweka orodha kamili pindi TAMISEMI watakapofungua mfumo)
Maelekezo ya Kujiunga (Joining Instructions) 2026/2027
Baada ya kuona jina lako na shule uliyopangiwa, hatua inayofuata ni kupata Fomu ya Maelekezo ya Kujiunga (Joining Instruction). Fomu hii ni muhimu kwani ina maelezo yote kuhusu:
-
Tarehe ya kuripoti shuleni.
-
Sare za shule na vifaa vinavyohitajika.
-
Michango ya shule iliyoidhinishwa na Serikali.
-
Mahali shule ilipo na usafiri wa kufika huko.
Pakua Fomu Hapa: Â PAKUA PDF: JOINING INSTRUCTIONS ZA SHULE ZOTE 2026
Mambo Muhimu ya Kuzingatia
-
Mabadiliko ya Shule: TAMISEMI imesisitiza kuwa mabadiliko ya shule au mchepuo hayaruhusiwi isipokuwa kwa sababu maalum za kiafya zilizothibitishwa.
-
Muda wa Kuripoti: Wanafunzi wanatakiwa kuripoti katika shule walizopangiwa ndani ya muda uliopangwa. Mwanafunzi atakayechelewa kuripoti anaweza kupoteza nafasi yake.
-
Second Selection: Kwa wale ambao hawakuonekana kwenye awamu hii ya kwanza, msisitize kufuatilia taarifa za Selection ya Pili itakayotolewa baada ya kuripoti kwa awamu ya kwanza kukamilika.
Angalia Majina kwa Mikoa (2026 Selection)
Tumekurahisishia kupata matokeo yako kwa haraka kwa kupanga mikoa yote hapa:
Tunakutakia kila la kheri katika masomo yako ya Kidato cha Tano. Endelea kutembelea matokeoyanectatz.com kwa habari za uhakika kuhusu elimu nchini Tanzania.
