Nafasi 37 za Kazi : Wadada wa Migahawa (Restaurants) Posta na Madukani (Mlimani City & Mikocheni)
kampuni ya Job Junction Tanzania, inayopatikana Makumbusho Terminal, inawatangazia wadada wote wachangamfu fursa za ajira katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam.
 Maeneo ya Kazi:
-
Migahawa (Restaurants): Posta (Mpya).
-
Madukani (Sales): Mikocheni Plaza na Mlimani City.
Sifa na Vigezo:
-
Jinsia: Wadada pekee.
-
Idadi: Nafasi 37.
-
Umri: Miaka 18 – 45.
-
Elimu: Ngazi yoyote inakaribishwa.
-
Sifa za Ziada: Uwe mtanashati (Smart), mkarimu, na mwenye uwezo wa kuhudumia wateja kwa weledi.
-
Makazi: Lazima uwe mkazi wa Dar es Salaam.
Maslahi:
-
Mshahara: TZS 350,000 mpaka 450,000 kwa mwezi (Kulingana na kitengo).
Jinsi ya Kuomba:
Wasiliana nasi sasa kwa kutuma ujumbe kupitia WhatsApp pekee: 0610155136 ,Barua pepe: jobjunctiontz@gmail.com, Ofisi zetu: Makumbusho Terminal, Dar es Salaam.
