Wadada wa Mauzo (Shop Attendants) Shoppers & Mikocheni Dar es SalaamWadada wa Mauzo (Shop Attendants) Shoppers & Mikocheni Dar es Salaam

Nafasi za Kazi 27: Wadada wa Mauzo (Shop Attendants) Shoppers & Mikocheni Dar es Salaam, NAFASI ZA KAZI: MAUZO (SHOP ATTENDANTS)

Tunatafuta wadada wachangamfu, waaminifu na wenye weledi kujiunga na timu yetu ya mauzo katika maduka yetu yaliyopo Shoppers Plaza na Mikocheni.

Sifa na Masharti:

  • Jinsia: Wadada (Kike).

  • Makazi: Lazima uwe mkazi wa Dar es Salaam.

  • Idadi: Nafasi zipo 27.

  • Haiba: Uwe na lugha nzuri kwa wateja na nidhamu ya kazi.

Maslahi:

  • Mshahara: TSH 450,000 kwa mwezi.

 Jinsi ya Kuomba:

Kama unakidhi vigezo hivi, tafadhali tuma maombi yako au wasiliana nasi moja kwa moja kupitia WhatsApp pekee:

Namba: 0610155136

Wahi sasa, nafasi ni chache na zinajazwa haraka!

SOMA PIA;

By admin

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *