Vyuo Vinavyotoa Kozi za Pharmacy Tanzania| Orodha ya Vyuo Vilivyoidhinishwa,
Kada ya famasi (pharmacy) ni moja ya nguzo muhimu katika mfumo wa afya nchini Tanzania. Kwa wanafunzi wanaotamani kuwa wafamasia (pharmacists) au mafundi sanifu dawa (pharmaceutical technicians), ni muhimu kusoma katika chuo kinachotambuliwa na Baraza la Famasi (Pharmacy Council) ili kuweza kusajiliwa na kufanya kazi kisheria.
Katika makala haya, tumekuchambulia orodha ya vyuo vinavyotoa kozi za pharmacy Tanzania, vikiwemo vya serikali na binafsi, pamoja na ngazi za masomo zinazotolewa.
Sifa za Kujiunga na Kozi ya Pharmacy
Ili kujiunga na kozi ya Pharmaceutical Sciences, sifa za msingi ni kama ifuatavyo:
-
Astashahada (NTA Level 4): Ufaulu wa kuanzia alama ‘D’ katika masomo ya Biology na Chemistry, na masomo mengine mawili ya sayansi (isipokuwa dini).
-
Stashahada (NTA Level 6): Kukamilisha ngazi ya 5 ya famasi au kuwa na ufaulu wa Kidato cha Sita (Form VI).
-
Shahada (Degree): Ufaulu wa “Principal passes” katika masomo ya Chemistry na Biology.
Orodha ya Vyuo vya Pharmacy Tanzania (Pharmacy Council Approved)
Jedwali hili limeandaliwa kwa kuchanganya vyuo ili kukupa chaguo pana la vyuo vya umma na binafsi vilivyoidhinishwa:
| Jina la Chuo (Training Institution) | Mkoa (Region) | Umiliki (Ownership) | Ngazi ya Masomo (NTA Level) |
| Muhimbili University (MUHAS) | Dar es Salaam | Serikali |
Degree & Diploma
|
| St. John College of Health Science | Mbeya | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| University of Dodoma (UDOM) | Dodoma | Serikali |
NTA L 4-6
|
| City College of Health and Allied Sciences | Dar es Salaam | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| Mbeya College of Health Sciences | Mbeya | Serikali |
NTA L 4-6
|
| St. John’s University of Tanzania | Dodoma | Binafsi |
Degree & NTA L 4-6
|
| Mtwara Clinical Officer Training Center | Mtwara | Serikali |
NTA L 4-5
|
| Spring Institute of Business and Health | Kilimanjaro | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| DECCA College of Health Sciences | Dodoma | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| Catholic University (CUHAS) | Mwanza | Binafsi |
Degree & Diploma
|
| K’s Royal Training Institution | Mbeya | Binafsi |
NTA L 4-5
|
| Kilimanjaro School of Pharmacy | Kilimanjaro | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| Kahama College of Health Sciences | Kahama | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| Blue Pharma College of Health Sciences | Singida | Binafsi |
NTA L 4-5
|
| Kigamboni City College | Dar es Salaam | Binafsi |
NTA L 4-5
|
| Northern College of Health Sciences | Kilimanjaro | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| St. Peters College of Health Science | Dar es Salaam | Binafsi |
NTA L 4-5
|
| Lugarawa Health Training Institute | Njombe | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| Royal Training Institute | Dar es Salaam | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| Karagwe Institute of Health Sciences | Karagwe | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| Kampala International University | Dar es Salaam | Binafsi |
Degree & NTA L 4-6
|
| West Tanganyika College | Kigoma | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| St. Aggrey College | Mbeya | Binafsi |
NTA L 4-5
|
| Ruaha University College | Iringa | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| Njombe Health Training Institute | Njombe | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| St. Maximilliancolbe Health College | Tabora | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| Green Bird College | Kilimanjaro | Binafsi |
NTA L 4-6
|
| KAM College of Health Science | Dar es Salaam | Binafsi |
NTA L 4-6
|
Mambo ya Kuzingatia Wakati wa Kuchagua Chuo cha Pharmacy
Unapochagua chuo kutoka kwenye orodha ya vyuo vya afya Tanzania, hakikisha unazingatia yafuatayo:
-
Idhini ya Baraza la Famasi (PC): Usijisajili katika chuo ambacho hakijaidhinishwa (kwa mfano, baadhi ya taasisi kwenye orodha rasmi zimeainishwa kuwa hazijapitishwa na PC kwa sasa).
-
Vifaa vya Kufundishia: Hakikisha chuo kina maabara bora ya mazoezi ya vitendo (practicals).
-
Gharama (Ada): Vyuo vya serikali huwa na ada ya pharmacy nafuu ikilinganishwa na vyuo binafsi.
Je, Unajua Maana ya Ngazi za NTA?
-
NTA L 4: Astashahada ya Msingi (Basic Technician Certificate).
-
NTA L 5: Astashahada (Technician Certificate).
-
NTA L 6: Stashahada ya Kawaida (Ordinary Diploma).
Safari ya kuwa mtaalamu wa dawa inaanza na uchaguzi sahihi wa chuo. Tumia List Approved Pharmacy Training Institutions hapo juu kuanza mchakato wako wa maombi mapema ili kupata nafasi katika vyuo vya afya 2026.
