Matokeo ya Form FourMatokeo ya Form Four

Matokeo ya Form Four 2025/2026 (NECTA CSEE Form Four Results)

Habari njema kwa wahitimu wote! Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza/linatarajia kutangaza Matokeo ya Form Four 2025/2026 (CSEE Results) muda wowote kuanzia sasa.

Baada ya kukamilika kwa zoezi la usahihishaji wa mitihani iliyofanyika mwezi Novemba 2025, macho yote sasa yapo kwenye tovuti ya NECTA kujua nani kaenda Kidato cha Tano na nani anaelekea Vyuo vya Kati.

Kwenye ukurasa huu, tumekuwekea Link Mpya na zenye kasi (Fast Servers) ili kukuwezesha kuona matokeo ya Form Four 2025 bila usumbufu, hata kama mtandao uko busy.

Live Update: Status ya Matokeo

Tunafuatilia “Server” za NECTA kila dakika. Hii ndiyo hali halisi kwa sasa:

Taarifa: Matokeo bado hayajatoka rasmi. Ratiba ya kawaida ya NECTA inaonyesha matokeo haya hutoka mapema mwezi Januari 2026. Tafadhali ondoa hofu na endelea kutembelea ukurasa huu.

Jinsi ya Kuangalia Matokeo ya Form Four 2025 (Simple Steps)

Ukiingia kwenye tovuti ya NECTA, fuata hatua hizi:

  1. Bofya Link: Bonyeza kiungo cha “CSEE 2025 Results” hapa chini.

  2. Tafuta Shule: Shule zimepangwa kwa herufi (A-Z). Mfano: Kama shule yako inaanza na ‘M’ (mfano Mzumbe), bonyeza herufi M.

  3. Fungua Shule: Ukibonyeza jina la shule, itafunguka orodha nzima.

  4. Tafuta Namba Yako: Angalia namba yako ya mtihani (Index Number) kuona alama zako.

Link za Haraka (Fast Loading Links)

Wakati mwingine tovuti ya necta.go.tz inazidiwa na watembeleaji. Tumia njia hizi za mkato:

Orodha ya Matokeo Kimkoa (Regional Results)

Unataka kuona matokeo ya mkoa wako tu? Tumekurahisishia hapa. Bonyeza mkoa husika kuona shule zake:

Mkoa Kiungo
Matokeo ya Form Four mkoa wa Arusha Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Dar es Salaam Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Dodoma Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Geita Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Iringa Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Kagera Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Katavi Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Kigoma Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Kilimanjaro Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Lindi Angalia Hapa
Matokeo ya Kidato Cha Nne mkoa wa Manyara Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Mara Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Mbeya Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Morogoro Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Mtwara Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Mwanza Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Njombe Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Pwani Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Rukwa Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Ruvuma Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Shinyanga Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Simiyu Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Singida Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Songwe Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Tabora Angalia Hapa
Matokeo ya Form Four mkoa wa Tanga Angalia Hapa

Umefaulu? Jua Hatma Yako Hapa

Baada ya kuona matokeo, swali kubwa ni “Je, nimechaguliwa?”. Hizi hapa ni sifa fupi za kukumbuka:

  • Kidato cha Tano (Form Five): Unahitaji uwe na angalau “Credits” tatu (C, B, au A) kwenye masomo ya Combination na uwe umefaulu jumla (kuanzia Division I hadi III).

  • Vyuo vya Kati (Colleges/Nactvet): Kama una Division IV (kuanzia pointi 26 hadi 33), una nafasi kubwa ya kujiunga na vyuo vya Afya, Ualimu, Kilimo, na Utawala.

  • VETA: Kwa waliopata Division 0, fursa za ufundi stadi bado zipo wazi.

MatokeoYaNectaTZ.com inakutakia kila la kheri. Matokeo haya ni mwanzo tu wa safari ndefu ya mafanikio.

Kama link zinasumbua kufunguka, tafadhali tuandikie kwenye Comments jina la shule yako nasi tutakutumia link ya moja kwa moja.

By admin

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *